Back to home
Kilio cha haki baada ya mama kufariki Nyeri
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Familia moja huko Kambura-Ini eneo bunge la Kieni kaunti ya Nyeri, inaitaka hospitali ya Naromoru level 4 kuchukuliwa hatua, baada ya binti yao Joy Kiende mwenye umri wa miaka 19 kufariki wakati wa kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kulingana na mumewe James Munene, Joy alikuwa buh
Advertisement
Advertisement





