Back to home

Kilio cha haki baada ya mama kufariki Nyeri

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
3h ago
Familia moja huko Kambura-Ini eneo bunge la Kieni kaunti ya Nyeri, inaitaka hospitali ya Naromoru level 4 kuchukuliwa hatua, baada ya binti yao Joy Kiende mwenye umri wa miaka 19 kufariki wakati wa kujifungua kwa njia ya upasuaji. Kulingana na mumewe James Munene, Joy alikuwa buh
Advertisement