Back to home

Magonjwa ya macho na koo yaongezeka kaunti ya Murang'a

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
3h ago
Wataalamu wa afya katika kaunti ya murang’a wameelezea wasiwasi mkubwa kufuatia ongezeko la magonjwa ya macho na koo, huku wakionya kuwa ucheleweshaji wa utambuzi wa magonjwa ya macho unaweza kusababisha matatizo makubwa, ikiwemo upofu. Wakizungumza wakati wa kambi ya matibabu
Advertisement