Back to home
Mauaji ya Mtoto Pendo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Mashirika ya kijamii yamewasilisha kesi upya kupinga uamuzi wa kuondoa mashtaka dhidi ya maafisa wanane wa polisi wanaohusishwa na ghasia za baada ya uchaguzi wa 2017 mjini Kisumu, yakiwemo mauaji ya mtoto Pendo.
Advertisement
Advertisement





