Back to home
Urithi wa marehemu Jaji wa Mahakama Kuu David Majanja
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Baadhi ya jamaa za marehemu Jaji wa Mahakama Kuu David Majanja wamewasilisha rufaa kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu mali ya marehemu. Mama wa kambo wa marehemu akipigania kurejeshwa kwenye orodha ya warithi, na nduguye marehemu Majanja akitaka fedha ambazo anasema aliwachiwa na
Advertisement
Advertisement





