Back to home
Waumini na viongozi wa kanisa la Akorino watofautiana siasani
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Waumini na viongozi wa kanisa la Akorino ambao hawakufika ikulu ya Nairobi hapo jana sasa wanalitaka dhehebu hilo lisitumike kisiasa. Katika mkutano sambamba uliofanyika katika eneo bunge la Kandara kaunti ya Murang'a, kanisa hilo la Akorino limewaonya wanasiasa dhidi ya kuleta m
Advertisement
Advertisement





