Back to home

Wapiga kura 5,700 wamesajiliwa katika kaunti ya Lamu kufikia sasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 14, 2026
4h ago
Huku muda wa zoezi la kusajili wapiga kura wapya kwa awamu ya kwanza mashinani ukiendelea kuyoyoma wapiga kura 5,700 wamesajiliwa katika kaunti ya Lamu kufikia sasa. idadi hiyo ikiwa sawa na asilimia 62 ya wapigakura wa kaunti hiyo.
Advertisement