Back to home

Tume ya IEBC inatarajia kuwasajili wapiga kura 2.5 milioni katika mwezi mmoja

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 31, 2026
2h ago
Tume ya uchaguzi nchini IEBC sasa inasema kuwa wakenya wanaojisajili upya wana uhuru wa kuchagua kituo watakapopigia kura mwaka ujao. Hii ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kuhakikisha kuwa tume hiyo inafikisha malengo ya kuwasajili wapiga kura wapya milioni 2.5 katika muda wa mwez
Advertisement