Back to home

Wandayi: Hakuna upungufu wa mafuta, gesi na mafuta ya taa ziko kwa wingi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 31, 2026
2h ago
Waziri wa Kawi Opiyo Wandayi amesistiza kuwa hakuna sababu yoyote ya hofu kuhusu ukosefu wa mafuta nchini. Wandayi akisema kuwa wizara yake imejipanga vilivyo kuhakikusha kuwa kuna mafuta ya kutosha nchini. Waziri pia akiwahakikishia wakenya kuwa kuna akiba ya kutosha ya mafuta,
Advertisement