Back to home
Ida Odinga ajitenga na siasa, asema anajipa muda wa maombolezo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 14, 2026
5h ago
Ida Odinga, balozi wa Kenya na mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira, sasa anasema amechukua muda kumuomboleza mumewe, waziri wa zamani Raila Odinga, na hivyo kujitenga kwenye siasa. Akizungumza mjini Mombasa, Ida amesema kuwa yeye si mwanasiasa na hatajihusi
Advertisement
Advertisement




