Back to home

FIFA Series: Kenya yachapwa 2-0 na Australia fainali, India yashika nafasi ya tatu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 15, 2026
2h ago
Kenya imemaliza katika nafasi ya pili kwenye kinyang'anyiro cha fifa series baada ya kushindwa 2-0 na australia kwenye fainali iliyochezwa uwanjani nyayo. Awali timu ya india ilimaliza katika nafasi ya tatu baada ya kuipiku malawi kwa maba0 3-2.
Advertisement