Back to home
IEBC imewataka wananchi kujitokeza na kujisajili kuwa wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
2h ago
Tume ya uhaguzi na mipaka IEBC imewataka wananchi kujitokeza na kujisajili kama wapiga kura ili kuweza kuwachagua viongozi waadilifu.
Wakizungumza katika hafla ya kutoa hamasisho kwa umma Kuhusu masuala ya uongozi, wadau hao wamesema wameweka mikakati ya kuwafikia wapiga kura ili
Advertisement
Advertisement





