Back to home
Wanafunzi wenye ulemavu kutoka shule ya Tala Machakos waibuka washindi wa kitaifa katika densi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 16, 2026
1w ago
Wanafunzi wenye ulemavu kutoka shule ya msingi ya Tala integrated, kaunti ya Machakos, wameibuka washindi wa kitaifa katika densi na ubunifu kwenye mashindano yaliyokamilika hivi karibuni ya michezo ya kuigiza ambayo yalifanyika kaunti ya Nyeri
Advertisement
Advertisement





