Back to home

Eneo bunge la Lamu Mashariki ambalo ni eneo la Visiwa limepata barabara ya kwanza ya Lami

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 16, 2026
2h ago
Eneo bunge la Lamu Mashariki ambalo ni eneo la Visiwa limepata barabara ya kwanza ya Lami tangu Kenya kupata Uhuru. Barabara hiyo inayoendelea kujengwa Kisiwa cha Pate itarahisisha usafiri na kupunguza hasara wanayopata ya kusafirisha mizigo na binadamu. Barabara ya sasa imejaa m
Advertisement