Back to home

Lamu East kupata barabara ya lami ya kwanza Kisiwani Pate

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 16, 2026
2h ago
Eneo bunge la Lamu Mashariki ambalo ni eneo la Visiwa limepata barabara ya kwanza ya Lami tangu Kenya kupata Uhuru. Barabara hiyo inayoendelea kujengwa Kisiwa cha Pate itarahisisha usafiri wa abiria na mizigo hali inayosababisha gharama ya usafiri kuongezeka.
Advertisement