Back to home

IEBC yaongeza vituo vya kupigia kura nje ya nchi kwa Wakenya ng’ambo

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 16, 2026
2h ago
Tume ya Uchaguzi IEBC imetangaza kwamba itaongeza idadi ya nchi ambazo Wakenya wanaweza kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka ujao kutoka 12 hadi 26. Akizungumza mbele ya Kamati ya Bunge ya maswala ya kigeni, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa IEBC Ledama Sunkuli aliomba Bunge kuongeza bajeti
Advertisement