Back to home

Polisi jijini Nairobi wanasema wamewakamata washukiwa 84 wa magenge nchini

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
1h ago
Polisi jijini Nairobi wanasema wamewakamata washukiwa 84 wanaodaiwa kuwa wanachama wa magenge yanaohangaisha wakazi. Kati yao, 48 ni wahuni wanaotumia pikipiki na bunduki bandia
Advertisement