Back to home
Polisi jijini Nairobi wanasema wamewakamata washukiwa 84 wa magenge nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 17, 2026
1h ago
Polisi jijini Nairobi wanasema wamewakamata washukiwa 84 wanaodaiwa kuwa wanachama wa magenge yanaohangaisha wakazi. Kati yao, 48 ni wahuni wanaotumia pikipiki na bunduki bandia
Advertisement
Advertisement


![Shajara na Lulu | Simulizi ya Gladys Chepyegon anayeugua ugonjwa wa Kifafa [Part 1]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/Shajara-na-Lulu-Si_1776416985-16x9.jpg)


