Back to home
Kenya yachapwa na Afrika Kusini robo fainali ya World Rugby Sevens
video
C
Citizen TV (Youtube)April 18, 2026
3h ago
Timu ya taifa ya wanaume ya raga ya wachezaji saba ilipata kichapo cha kusikitisha cha alama 26-22 dhidi ya Afrika Kusini katika robo fainali ya mashindano ya dunia ya sevens yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Kai Tak huko Hong Kong alasiri ya leo. Sasa Kenya itacheza mech
Advertisement
Advertisement





