Back to home

Oburu adai Raila hakumtaka Sifuna ODM

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 19, 2026
2h ago
Kinara wa odm Dkt. Oburu Oginga sasa anasema aliyekuwa kiongozi wa chama cha odm raila odinga alitaka katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna kutimuliwa afisini kwa kukosa nidhamu chamani. Akizungumza kwenye mahojiano ya kipekee na runinga ya citizen Dkt. Oburu pia alitoa onyo kwa chama
Advertisement