Back to home

Polisi na NTSA wahimizwa kuhakikisha madereva wamehitimu na mafunzo ya usalama barabarani

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
2h ago
Polisi wa trafiki na maafisa wa NTSA wamehimizwa kujitahidi kuhakikisha madereva na waendeshaji pikipiki walioko barabarani wote wamehitimu kama njia ya kuzuia visa vya ajali nchini. Akizungumza alipotoa ufadhili wa kutoa mafunzo ya uendeshaji magari na pikipiki South C, mwakilis
Advertisement