Back to home

Ukatili wa baba Kakamega wampelekea kumuua mwanawe

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
3h ago
Mwanamume mmoja kutoka kijiji cha Imabusi eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega amelazwa katika hospitali ya shibwe chini ya ulinzi mkali baada ya kudaiwa kumuua mwanawe na kuwajeruhi wengine vibaya. Mshukiwa huyo nathan shimenga baadaye alishambuliwa na wanakijiji kufuatia
Advertisement