Back to home

Wakazi wa Borabu wahamasishwa kuhusu dawa za kulevya

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
2h ago
Mamia ya wakazi pamoja na mashirika mbalimbali yakiwemo Kanisa Katoliki , kanisa la kiadventista, serikali kuu na ile ya kaunti ya Nyamira wameandaa msafara wa kuhamaisha umma dhidi ya pombe haramu na matumizi ya dawa za kulevya hususan miongoni mwa vijana. Wakazi wakisema maeneo
Advertisement