Back to home

Kauli za Rais Ruto kuhusu maendeleo Kenya zatiliwa shaka

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 20, 2026
2h ago
Rais William Ruto ameendelea kutetea tofauti ya bei ya mafuta katika kanda ya afrika mashariki, akitoa sababu za kwa nini bei nchini kenya iko juu ikilinganishwa na mataifa mengine ya kanda hii. Rais akieleza kuwa hadhi ya kenya kiuchumi inaifanya iwe tofauti na baadhi ya mataifa
Advertisement