Back to home
KNCHR yataka fidia ya KSh 3–4 milioni kwa waathiriwa 1,800 na kuwasilisha orodha kwa Rais
video
C
Citizen TV (Youtube)April 20, 2026
2h ago
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za binadamu ya KNCHR inasema imethibitisha malalamishi kutoka kwa waathiriwa 1,800 wa visa vya ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa maandamano. KNCHR ikipendekeza fidia ya shilingi milioni 3 kwa waliofariki na milioni 4 kwa waathiriwa wa dhuluma
Advertisement
Advertisement




