Back to home
Akina mama katika kaunti ya Pokot wameanzisha mchakato wa kushiriki kiuchumi eneo hilo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 21, 2026
2h ago
Akina mama katika kaunti ya Pokot Magharibi wameanzisha mchakato wa kushiriki kikamilifu katika masuala ya kiuchumi katika eneo hilo la wafugaji, wakilenga kubadilisha dhana potovu kwamba wanawake ni dhaifu na wasioweza kuchangia ukuaji wa uchumi. Kupitia kujihusisha na elimu ya
Advertisement
Advertisement





