Back to home

IEBC yasisitiza mwisho wa usajili wa wapiga kura, siku 7 zimesalia

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 21, 2026
2h ago
Tume ya uchaguzi nchini IEBC sasa inasema haitaongeza muda wa kuwasajili wapiga kura, ikiwataka wakenya kutumia juma moja lililosalia kujisajili. IEBC imesema haya huku mbunge wa embakasi west mark mwenje akiitaka tume hiyo kujibu madai kuwa baadhi ya wapiga kura kutoka kaunti ya
Advertisement