Back to home
Kitalu cha miti Makuyuni
video
C
Citizen TV (Youtube)April 22, 2026
2h ago
Huku taifa likilenga kupanda miti bilioni kumi na tano ifikiapo mwaka wa 2032, wakazi wa Mukuyuni huko Makueni wamepokea mafunzo ya jinsi ya kukuza miche aina mbalimbali kwa njia nzuri ili kuhakikisha miche inapopandwa inastahimili mazingira magumu.
Mafunzo hayo yalitolewa wakat
Advertisement
Advertisement





