Back to home
Wizara ya ICT yachukua jukumu la kuhifadhi kinamasi Nandi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 22, 2026
2h ago
Wizara ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano imeanza mchakato wa kurejesha sehemu ya kinamasi cha King’wal kilichoko katika Kaunti ya Nandi.
Rasilmali hiyo ya asili imeharibiwa mno na shughuli za kilimo hali inayotishia uhai wa viumbe mbalimbali wanaoitegemea, wakiwemo swar
Advertisement
Advertisement





