Back to home

Mwenyekiti wa Tume ya IEBC amewaonya wanasiasa dhidi ya kutumia vijana kama wahuni

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 22, 2026
2h ago
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini IEBC Erastus Ethokon amewaonya wanasiasa wanaogombea viti mbali mbali vya uongozi, dhidi ya kutumia vijana kama wahuni kuvuruga amani nchini, akisema wakipatikana hawataruhusiwa kuwania wadhifa wowote mwaka 2027.
Advertisement