Back to home
Mahakama yasitisha kwa muda agizo la TVETA kuhusu vyeti vya taasisi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 22, 2026
1h ago
Ni afueni kwa taasisi ya mafunzo ya kim baada ya mahakama kuu kutoa amri ya muda kusitisha hatua ya halmashauri ya elimu za kiufundi tveta kufunga taasisi hiyo na kubatilisha vyeti vya wanafunzi zaidi ya laki moja. Wakati huo huo, waziri wa elimu Migos Ogamba ameonekana kukinzana
Advertisement
Advertisement





