Back to home
Hasira ya risasi yazua maandamano baada ya kijana kupigwa risasi nyumbani
video
C
Citizen TV (Youtube)April 22, 2026
1h ago
Wakazi mtaani Huruma hapa Nairobi waliandamana leo kulalamikia kupigwa risasi kwa mvulana wa miaka 14 hapo jana. Wakazi hao wanasema wanaume wanne waliovalia kiraia na kujitambulisha kuwa maafisa wa polisi walitofautiana na wakazi wakati wa uchunguzi wa kisa cha uhalifu na kudaiw
Advertisement
Advertisement





