Back to home

SUPKEM yakemea vurugu za kisiasa, yaunga mkono Ruwaza 2060

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 16, 2026
2h ago
Baraza Kuu la Waislamu Nchini SUPKEM limekemea matukio ya kisiasa na vurugu zinashuhudiwa, likiwaonya wanasiasa dhidi ya kulisambaratisha taifa. Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kitaifa Al-Hajj Hassan Ole Naado, baraza hilo limeunga mkono Ruwaza ya Rais William Ruto ya mwaka 2060, li
Advertisement