Back to home
Kenya Kwanza watetea Ruto, watishia kusimamisha malimbikizi ya Uhuru
video
C
Citizen TV (Youtube)August 16, 2026
2h ago
Viongozi wanaoegemea serikali ya Kenya Kwanza wameendelea kutetea uongozi wa Rais William Ruto huku wakiendeleza tisho la mswada wa kusimamisha malimbikizi ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta. Wanasiasa hawa wakimlaumu rais mstaafu kwa kuhitilafiana na uongozi wa Rais Ruto. Chrispine
Advertisement
Advertisement




