Back to home

Waandamanaji 61 wafikishwa kortini, 12 waachiwa kwa dhamana, 43 Machakos wazuiliwa siku 3

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 22, 2026
2h ago
Washukiwa 61 wakiwemo watoto watano waliokamatwa kufuatia maandamano ya kupinga bei ya mafuta Nairobi, machakos na Karatina wamefikishwa mahakamani hii leo. Jumla ya washukiwa 16 waliachiliwa kwa dhamana Nairobi na karatina huku washukiwa waliokamatwa machakos wakisalia seli kwa
Advertisement