Back to home
Wafanyakazi wa Machakos washinikiza kupitishwa kwa bajeti
video
C
Citizen TV (Youtube)August 3, 2026
1h ago
Wafanyakazi wa Kaunti ya Machakos waliandamana leo kulishinikiza Bunge la Kaunti hiyo kuidhinisha bajeti ya mwaka 2026/2027 ya shilingi bilioni 19.
Kupitia miungano mbalimbali, wafanyakazi hao waliishutumu serikali ya kaunti kwa vita vya ndani vinavyoathiri utendakazi wao. Baadh
Advertisement
Advertisement


