Back to home

Harambee Starlets yakabili Algeria katika mechi muhimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 3, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya soka kwa wanawake, Harambee Starlets, inalenga kuandikisha ushindi wake wa kwanza kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) nchini Morocco watakapokabiliana na Algeria katika mechi yao ya mwisho ya hatua ya makundi usiku wa leo. Mwanaspoti beki wa
Advertisement