Back to home

Mshukiwa wa mauaji ya barabara ya Mombasa azuiliwa kwa siku 21

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 5, 2026
2h ago
Mshtakiwa katika kesi ya mauaji yaliyotokea Barabara Kuu ya Mombasa karibu na Uwanja wa Nyayo, Emmanuel Githua Kiburi, ataendelea kuzuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Industrial Area kwa siku 21. Githua anadaiwa kumuua Kennedy Kibet Ngeno kwa kisu kabla ya kumjeruhi mwanamume mw
Advertisement