Back to home

Mipango ya mazishi yaanza baada ya ajali ya Kibwezi kuua saba

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 16, 2026
1mo ago
Mipango ya mazishi imeanza kwa waathiriwa wa ajali ya barabarani eneo la Kibwezi Mashariki, Kaunti ya Makueni, kufuatia ajali iliyoua watu saba, wakiwemo watano waliokuwa wakihudhuria hafla ya mahari. Familia za waathiriwa zikitaja vifo vya jamaa zao kuwa pigo kubwa kwao. Michael
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play