Back to home
NOCK yakaribisha AANOA nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 23, 2026
3h ago
Kenya kupitia kamati ya olimpiki nchini NOCK inaandaa kongamano la muungano wa Akademia za Olimpiki Afrika (AANOA). Viongozi kutoka idara za michezo na utafiti watakuwa nchini kwa siku tatu kujadili na kuvumbua mbinu mpya za kukuza michezo ya olimpiki barani Afrika.
Advertisement
Advertisement





