Back to home

Hospitali ya Mater yazindua mbio za kuchangisha pesa za matibabu ya moyo

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 23, 2026
3h ago
Hospitali ya Mater inalenga kukusanya shilingi milioni,mia moja na hamsini za kusaidia upasuaji wa moyo unaookoa maisha ya watoto kutoka familia zisizojiweza. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo inayohusisha mbio, mkurugenzi wa huduma za afya wa hospitali ya mater Dkt
Advertisement