Back to home
Maraga akemea ugawaji wa maeneo ya kisiasa, ataka uchaguzi huru nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 23, 2026
3h ago
Kinara chama cha UGM David Maraga amekashifu njama ya vyama vya kisiasa kutenga maeneo ambayo yatatengewa vyama vyenye ushawishi mkubwa katika maeneo hayo. Maraga anasema kuwa mkondo huo utazidi kuwagawanya wakenya na zaidi kuwanyima uhuru na haki ya kuwachagua viongozi wanaofaa.
Advertisement
Advertisement




