Back to home

Madereva wa masafa marefu walalamikia usalama wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 24, 2026
2h ago
Viongozi wa madereva wa malori ya masafa marefu wameilaumu Wizara ya Leba humu nchini kwa kukaa kimya wakati madereva wanahangaishwa na kuuawa katika mataifa ya nje wanaposafirisha mizigo yao.
Advertisement