Back to home

Wanachama wa Vikundi zaidi ya 400 katika kaunti ya Tana River wamepokea pembejeo za kilimo

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 24, 2026
3h ago
Wanachama wa Vikundi zaidi ya 400 katika kaunti ya Tana River wamepokea pembejeo za kilimo kutoka serikali ya kaunti hiyo ili kuongeza uzalishaji wa chakula hasa wakati huu wa msimu wa mvua.
Advertisement