Back to home

Wanafunzi 110 wa vyuo vikuu Ilkiloriti Kajiado wamepata Ufadhili wa Elimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 24, 2026
2h ago
Na huku shule zikitarajiwa kufunguliwa kwa muhula wa Pili, wanafunzi 110 wa Vyuo vikuu na sekondari kutoka Kijiji cha Ilkiloriti, kaunti ya Kajiado ambao wanatokea jamii maskini wamepata afueni baada ya Jamii la eneo hilo kuchanga shilingi million moja kugharamia karo yao.
Advertisement