Back to home
Walimu wa sekondari msingi zaidi ya 100 katika Kaunti ya Kwale wamepokea mafunzo ya Akili Unde
video
C
Citizen TV (Youtube)April 24, 2026
2h ago
Walimu wa sekondari msingi zaidi ya 100 katika Kaunti ya Kwale wamepokea mafunzo ya Akili Unde katika mradi unaolenga kusambaza ufahamu wa teknolojia hiyo kwa wanafunzi kote nchini.
Advertisement
Advertisement





