Back to home
Oburu asisitiza kuwa kinara halali wa ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)April 24, 2026
2h ago
Kinara wa chama cha ODM Oburu Oginga amepuuzilia mbali Kauli ya Gavana wa Siaya James Orengo kwamba Oburu Hatoshi kuwa Kinara wa chama hicho na badala yake kujitangaza kama kinara halisi wa chama cha chungwa. Oburu amesistiza kwamba aliteuliwa na wanachama wa ODM kuwa Kiongozi
Advertisement
Advertisement



