Back to home
Upinzani wakita kambi Mombasa wakikosoa uongozi mbaya
video
C
Citizen TV (Youtube)April 25, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani wamewarai wakaazi wa Mombasa kupinga utawala mbaya wa kaunti hiyo na kusema kwa miaka mingi, hatma ya uongozi wa eneo hilo imeamuliwa na watu kutoka familia moja. Viongozi hao wamemuunga mkono mbunge wa Nyali, Mohammed Ali, kugombea kiti cha ugavana wa Mombas
Advertisement
Advertisement



