Back to home
Vijana Kajiado wataka vyama vya kisiasa kufanya chaguzi za haki
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
1h ago
Huku Vyama vya Kisiasa vikiendelea kujiandaa kuwachagua viongozi mbalimbali watakaopeperusha bendera zao kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, Vijana kutoka kaunti ya kajiado wametaka vyama hivyo kuhakikisha uteuzi huo ni wa haki.
Advertisement
Advertisement





