Back to home
Mradi wa taa Kirinyaga
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya Kirinyaga Anne Waiguru ameanzisha mradi wa taa za barabarani katika miji na masoko mbalimbali ili kuchochea uchumi wa saa ishirini na nne, ambapo zaidi ya taa 165 zimewekwa katika maeneo mbalimbali katika kaunti hiyo.
Mradi huo uliotekelezwa na idara ya barab
Advertisement
Advertisement





