Back to home

Mwanafunzi afariki kwa umeme uliofungwa kihalali Kisii

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 27, 2026
1h ago
Maafisa wa polisi kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha mwanafunzi aliyefariki ghafla baada ya kupigwa na nguvu za umeme alipokuwa akianika nguo zake eneo la Maili mbili. Maafisa wa polisi sasa wakimsaka msimamizi wa nyumba aliyokuwa akiishi Mercy Chepkemoi anay
Advertisement