Back to home

Usajili wa wapiga kura wakamilika kesho, IEBC yasema muda hauongezwi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 27, 2026
2h ago
Zoezi la Usajili wa Wapiga Kura linakamilika rasmi hapo kesho huku Tume ya Uchaguzi (IEBC) ikifanya kila juhudi kufikia azma yake ya kuwaandikisha wapiga kura wapya milioni 2.5. Tume hiyo ikisema kuwa hadi sasa watu milioni 1.8 wamejisajili huku kaunti za Nairobi na Kiambu zikio
Advertisement